Zaituni, Faru yatima

Zaituni ni mojawapo ya hadithi za mafanikio tunazopenda kusimulia kuhusu faru mweusi wa Mashariki. Zaituni, ameonyesha ukuaji tangu alipopatikana yatima kwa mara ya kwanza katika uwanda wa Serengeti mwishoni mwa mwaka 2019. Serikali ilimkabidhiwa Zaituni kwa Grumeti Fund kusaidia kumtunza na, tangu wakati huo, timu

Kukabili mustakabali wa Elimu

Uhifadhi endelevu unamaanisha kuinua na kuwezesha jamii zinazozunguka eneo la Grumeti. Idara yetu ya mahusiano ni muhimu katika kuhakikisha tunajenga uhusiano wa maana wa kudumu kwa muda mrefu na jamii ambazo zimekuwepo hapa kwa enzi kabla yetu na zitakazokuwa hapa miaka mingi baada yetu. Kuinua

Kutambulisha programu ya BizRaiz

Grumeti Fund imejitolea kufanya kazi na jamii za wenyeji zinazozunguka eneo hili la hifadhi ili kutengeneza fursa za kuzalisha kipato kupitia mpango wa maendeleo ya biashara. Tangu kutekelezwa kwake, mpango wa Enterprise Development Programme umefanikiwa kutoa mafunzo kwa wajasiriamali zaidi ya 900 kupitia programu zake

Wanawake kwenye uhifadhi

Sisi Grumeti Fund ni waumini thabiti kwamba ingawa ni muhimu kujizatiti kiukweli juu ya matishio ya uhifadhi, ni muhimu kutambua na kusherehekea ushindi, mdogo na mkubwa. Katika mwaka uliojaa changamoto, kuandaa kipindi chetu cha wanawake kwenye uhifadhi (WIF) ni jambo zuri sana. Ninatazamia kuanza kwa

Samani rafiki kwa mazingira, RISE

Tulipokuwa tunafikiria jinsi kituo - kilichokusudiwa kukuza utafiti wa hali ya juu wa uhifadhi na kushughulikia changamoto nzito za uhifadhi zinazoathiri mfumo wa ikolojia  Serengeti - unavyopaswa kuwa, tulijua kwamba muundo unaojali ulimwengu ndiyo njia sahihi. Kwa hiyo, mnamo Juni 2020, tulipokamilisha ujenzi wa RISE,

Utunzaji wa serengeti ya magharibi

Wakati athari za janga hili la kimataifa likiwalimemetatiza maisha ya watu kwa kiasi kikubwa, kupungua na mtiririko wa ulimwengu wa asili unabaki bila mabadiliko. Na hivyo, kazi yetu ya kulinda ekari 350,000 za  magharibi  mwa Serengeti inaendelea. Kwa kweli, kutokana na kuzorota kwa shughuli za

Black Rhino Calf is Born!

With less than 1,000 left in the world, eastern black rhino are critically endangered. Endemic to East Africa, their numbers dwindled as poaching for rhino horn surged in the 1970s and ’80s.  However, due to the work of a number of organizations, we are starting

A Virus of a Different Kind

Since his arrival, Eric, the bull rhino we translocated to the Grumeti Concessions in 2018, has been living in a 500-acre intensive protection zone (IPZ) for rhino, monitored and cared for by our conservation management team.  A couple of months ago Eric’s caretakers noticed that

Running a Rural Enterprise During a Pandemic

Serengeti, home of the world’s greatest migration, also boasts an ideal climate, excellent soil for agriculture and growing economic opportunities. Despite these advantages, many of its residents live in extreme poverty. Amos Masana Matiko used to be one of these individuals –living on less than

Learning Remotely During These Challenging Times

The Grumeti Fund through our community outreach program continues to successfully enhance the quality of education provided to the youth from local communities. Our hope is that we’ll equip them with knowledge, values, and skills they’ll use to pursue rewarding careers. Despite the challenging circumstances

Fellowship Awarded for Human-Wildlife Conflict Mitigation

Knowledge sharing is a huge focus for the Grumeti Fund.  Contributing to the larger conservation community when it comes to impact driven solutions on the ground is really important to the team. Learning from people and organizations around the world and to be advised on

Three women-led businesses supporting conservation

How can a hat, a painting and a shirt make a difference for conservation?  Check out these three women-led businesses that are donating a portion of their proceeds to the Grumeti Fund. Hilltop Hats Anne-Marie Walker has spent many years living and working in Tanzania.  Now, based

                  

Tafadhali tambua kuwa unahamishwa kwenda kwenye kurasa ya Shirika la Uhifadhi na Jamii za Kiafrika, Inc.

Nchini Marekani, Grumeti Fund ni mradi unaosaidiwa-kifedha na Shirika la Uhifadhi na jamii za Kiafrika, Inc. (“ACCF”), shirika la kimsaada 501(c) (3). Michango yenye kutozwa kodi kwa ACCF hutolowa kwa Grumeti Fund kusaidia kazi yetu.

Bonyeza hapa kuchangia