Kuimarisha Jitihada Zetu dhidi ya Ujangili
Mitego ya nyaya na vikundi vikubwa vya biashara ya nyamapori vinabaki kuwa tishio kwenye juhudi zetu za uhifadhi. Vikundi hivi vya biashara haramu sio tu husambaza nyamapori ndani ya maeneo ya hapa karibu lakini pia huuza nje ya mipana, hivyo kuweka shinikizo kubwa kwa wanyama......