Kuwaandaa Mabingwa wa Uhifadhi
Kuna mithali ya Kiswahili isemayo “Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo”. Ni ukweli wa muda wote wenye uhalisia katika tamaduni nyingi, mabara na kazi – ikiwemo na uhifadhi. Tunaamini kuwa kama tunataka baadaye ambayo watu wanaishi kwa amani na usawa na asili, lazima tuanze kwa kuwezesha kizazi......