Timu yetu

Grumeti Fund imeajiri zaidi ya wafanyakazi mia moja, kulinda, kusimamia na kuangalia rasilimali na wanyamapori katika mapori ya akiba ya Grumeti. Tunawashukuru kwa ari na kujitoa kwao kwani kumepelekea wanyamapori kuongezeka tena tofauti na ilivyokuwa yapata miaka kumi iliyopita. Sasa makundi makubwa huonekana katika maeneo haya yenye kuvutia kipindi cha uhamaji wa wanyamapori wa kila mwaka. Haya ni matokeo ya moja kwa moja ya timu yetu kulinda kwa uthabiti na kuimarisha tena ikolojia hii iliyoko hatarini.

Wakuu wa idara

Matt Perry

Meneja Mkuu – Uzuiaji-Ujangiri & Uhifadhi

Noel Mbise

Meneja Mkuu – Utafiti & Jamii

Frida Mollel

Meneja wa Idara ya Ufikiaji wa jamii

Glen Steyn

Meneja Kupambana na Ujangili

Skyler Nuelle

Mkuu wa Ubia na Uchambuzi wa Athari

Stanslaus Mwampeta

Mkuu wa Utafiti na Ufuatiliaji (Muikolojia)

George Lohay, Ph.D.

Mwanasayansi wa Utafiti – RISE

Board Members

Mikael Andren

Mwenyekiti wa bodi

Anders Povlsen

Mkurugenzi

Prof. Hussein Sosovele

Mkurugenzi

Walter Kansteiner, III

Mkurugenzi

Paul Keating

Mkurugenzi

Kent Greenawalt

Mtazamaji

Lise Kaae

Mtazamaji

                  

Tafadhali tambua kuwa unahamishwa kwenda kwenye kurasa ya Shirika la Uhifadhi na Jamii za Kiafrika, Inc.

Nchini Marekani, Grumeti Fund ni mradi unaosaidiwa-kifedha na Shirika la Uhifadhi na jamii za Kiafrika, Inc. (“ACCF”), shirika la kimsaada 501(c) (3). Michango yenye kutozwa kodi kwa ACCF hutolowa kwa Grumeti Fund kusaidia kazi yetu.

Bonyeza hapa kuchangia