Dondoo

Tafakari: Mwaka wa mafanikio wa Grumeti Fund

Vuta picha hii: mtoto wa tembo akiungana na mama yake baada ya kuvumilia siku nyingi akiwa na mtego wa waya shingoni mwake, msichana akipambania kutimiza ndoto zake bila vikwazo vya hedhi, na mabadiliko ya mfumo wa ikolojia ambao awali ulikuwa wazi na sasa wanyamapori wanastawi.

Kulinda Wanyamapori Mchana na Usiku

Wakati wa mapambazuko wakati sehemu kubwa dunia wakiwa wamelala, kundi la watu lililojitolea  linaingia kazini. Ni saa 11:30 asubuhi na maskari wetu wa Idara ya uzuiaji ujangili wanajitayarisha kwa ajili ya ratiba yao ya kila siku ya mazoezi ya viungo. Ratiba yao si ya watu

Tafiti Mpya ya George Lohay Imechapishwa

Kichwa cha Tafiti: Ushahidi wa Jenetiki wa kugawanyika kwa idadi ya Twiga wa Masai waliotenganishwa na Bonde la Gregory nchini Tanzania (linki) Mshiriki mpya wa timu ya RISE, George Lohay, tayari ameanza kujenga njia mpya na kufanya maendeleo ya kuhifadhi wanyamapori wa Afrika. George amekuwa na

Progaramu ya Uhisani ya RISE: Kumwangazia Juma Minya

Mwaka 2019, Grumeti Fund ilianzisha programu yetu ya Utafiti na Ubunifu kwa ajili ya Mfumo wa Ikolojia ya Serengeti (RISE). Programu za RISE huvuka mipaka ya utafiti wa kawaida. Kwa kutumia vipaji na wasomi wenye maono Tanzania na nje ya nchi, RISE inajenga daraja kati

Kukabiliana na Mimea Vamizi.

Fikiria ikolojia nzuri iliojaa mimea, mamia ya aina za ndege na wanyamapori wanaostawi katika makazi yao ya asili. Ni tukio la kupendeza ambalo sote tunatumai kuhifadhi kwa vizazi vijavyo. Lakini vipi nikikuambia mahali hapo panakabiliwa na tishio la spishi vamizi? Mapori ya akiba ya Ikorongo –

Kuangazia programu ya wanawake kwenye uhifadhi

Grumeti Fund imejizatiti katika kuandaa viongozi shupavu wanawake kwenye sekta ya uhifadhi kwa vizazi vijavyo. Kwa kupitia programu yake ya wanawake kwenye uhifadhi (Women in the Field), Grumeti Fund imechangia kujenga uwezo na uzoefu kwa zaidi ya wanawake 28 tangu mwaka 2019. Programu hii ya

Zaituni, Faru yatima

Zaituni ni mojawapo ya hadithi za mafanikio tunazopenda kusimulia kuhusu faru mweusi wa Mashariki. Zaituni, ameonyesha ukuaji tangu alipopatikana yatima kwa mara ya kwanza katika uwanda wa Serengeti mwishoni mwa mwaka 2019. Serikali ilimkabidhiwa Zaituni kwa Grumeti Fund kusaidia kumtunza na, tangu wakati huo, timu

Kukabili mustakabali wa Elimu

Uhifadhi endelevu unamaanisha kuinua na kuwezesha jamii zinazozunguka eneo la Grumeti. Idara yetu ya mahusiano ni muhimu katika kuhakikisha tunajenga uhusiano wa maana wa kudumu kwa muda mrefu na jamii ambazo zimekuwepo hapa kwa enzi kabla yetu na zitakazokuwa hapa miaka mingi baada yetu. Kuinua

Kutambulisha programu ya BizRaiz

Grumeti Fund imejitolea kufanya kazi na jamii za wenyeji zinazozunguka eneo hili la hifadhi ili kutengeneza fursa za kuzalisha kipato kupitia mpango wa maendeleo ya biashara. Tangu kutekelezwa kwake, mpango wa Enterprise Development Programme umefanikiwa kutoa mafunzo kwa wajasiriamali zaidi ya 900 kupitia programu zake

                  

Tafadhali tambua kuwa unahamishwa kwenda kwenye kurasa ya Shirika la Uhifadhi na Jamii za Kiafrika, Inc.

Nchini Marekani, Grumeti Fund ni mradi unaosaidiwa-kifedha na Shirika la Uhifadhi na jamii za Kiafrika, Inc. (“ACCF”), shirika la kimsaada 501(c) (3). Michango yenye kutozwa kodi kwa ACCF hutolowa kwa Grumeti Fund kusaidia kazi yetu.

Bonyeza hapa kuchangia