Kutoka Serengeti hadi Ziwa Victoria na Zaidi: Umuhimu wa Uhifadhi wa Mito kwa Ajili ya Wanyamapori na Jamii
Maji ni uhai na mstakabali wa viumbe hai ikiwa ni pamoja na binadamu hutegemea maji. Vyanzo vya maji vikiharibiwa au kuchafuliwa madhara yake huenda mbali zaidi. Mito miwili, Grumeti na Rubana – hupita kwenye mapori yetu ya akiba ya Ikorongo – Grumeti yenye mkubwa wa......