Kituo cha Elimu ya Mazingira


Shabaha ya Mfuko kwenye elimu huangazia hadi kwenye mazingira na wajibu wa kila mtu kuweza kupunguza madhara kwenye mazingira yetu ulimwenguni. Kwenye Kituo cha Elimu ya Mazingira (EEC), wanafunzi 12 wakiongozwa na mwalimu wao hujifunza mambo muhimu ya kimazingira kama vile ukataji wa misitu, mmomonyoko wa udongo na uhifadhi wa maji ambavyo uathiri kila mmoja.

                  

Tafadhali tambua kuwa unahamishwa kwenda kwenye kurasa ya Shirika la Uhifadhi na Jamii za Kiafrika, Inc.

Nchini Marekani, Grumeti Fund ni mradi unaosaidiwa-kifedha na Shirika la Uhifadhi na jamii za Kiafrika, Inc. (“ACCF”), shirika la kimsaada 501(c) (3). Michango yenye kutozwa kodi kwa ACCF hutolowa kwa Grumeti Fund kusaidia kazi yetu.

Bonyeza hapa kuchangia